Alhamisi, 25 Februari 2016

WALIOTOROSHA MANKOTENA BANDALINI KUANZA FILISIWA LEO

Vigogo ambao wanadaiwa kuwa  16 waliokwepa kulipa kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), baada ya kutorosha kontena za mizigo yao kwenye Bandari Kavu (ICD) ya Azam mwishoni mwa mwaka jana, mali zao zinaanza kukamatwa leo na kufilisiwa.

Hakuna maoni: