Wafanyakazi wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) wakimsikiliza Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani(hayupo katika picha) leo jijini Dar es Salaam, katika ziara ya kuzitambua tasisi zilizopo chini ya wizara yake .
Alhamisi, 25 Februari 2016
NAIBU WAZIRI WA UJENZI,MAWASILIANO NA UCHUKUZI AZUNGUMZA NA WAKALA WA MAJENGO(TBA)
Naibu
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani akiongea
na menejimenti ya Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) alipowatembelea
katika ofisi zao leo jijini Dar es Salaam, wakati wa ziara ya
kuzitambua tasisi zilizopo chini ya wizara yake .
Wafanyakazi wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) wakimsikiliza Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani(hayupo katika picha) leo jijini Dar es Salaam, katika ziara ya kuzitambua tasisi zilizopo chini ya wizara yake .
Wafanyakazi wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) wakimsikiliza Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Edwin Ngonyani(hayupo katika picha) leo jijini Dar es Salaam, katika ziara ya kuzitambua tasisi zilizopo chini ya wizara yake .
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni