Alhamisi, 25 Februari 2016

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF.MUHONGO AITAKA TPDC NA WABIA WENGINE KUONGEZA KASI KATIKA UWEKEZAJI WA KIWANDA CHA GESI

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Muhongo ametaka kasi iongezwe katika mradi wa ujenzi wa kiwanda cha uchakataji na usindikaji wa gesi kimiminika unaotarajiwa kuanza mkoani Lindi mara baada ya taratibu za maandalizi kukamilika

Hakuna maoni: