Ijumaa, 19 Februari 2016

TANGU ACHAGULIWE JANA MH.RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO AKUTANA NA WASANII WA BONGO MOVE NA FLAVOUR

Mh.Rais alipata kuwasikiliza wasanii kero zao na kuagiza zishughulikiwe kama hazitaji kushilikisha bunge,hasa lile ambalo mwakilishi wao  hao wasanii Mwana FA aliombamba la vyombo vinne ambavyo ni BASATA,COSOTA,RING TURN vinavyoshughulika na wasanii kuwa katika wizara nne tofauti ambayo inawapa tabu katika kutatua kero zao nakuomba viwe katika wizara ya sanaa ,michezo na wasanii chini ya Waziri Nape.Pia Rais kagiza TRA kushughulikia kazi za wasanii ambazo azina sticker sababu zinaikosesha Serikali mapato na wasanii

Hakuna maoni: