Jumapili, 28 Februari 2016

SAMMATA AKISAIDIA TIMU YAKE KATIKA MECHI YA JANA DHIDI YA CLUB BRUGGE

Leo katika mechi iliyoikutanisha timu yake ya KRC Genk dhidi ya Club Brugge nchini Ubelgiji, mchezaji wa kimataifa Mbwana Samatta amefunga goli moja katika ushindi wa timu yake wa magoli 3 - 2.
Hongera Mbwana Samatta.

Hakuna maoni: