Jumanne, 20 Januari 2015

TAMKO LA MZEE WETU WARIOBA

Mzee wetu mpendwa jaji joseph sinde walioba kaongea na baadhi vya vyombo vya habari kuwa Rais ajae wa Tanzania watanzania wanamjua sababu watanzania wanazijua sifa za kiongozi ambaye anaweza kuiongoza tanzania hayo ni maneno ya busara ya mzee wetu mzalendo

Hakuna maoni: