Ijumaa, 11 Machi 2016

LUCKY DUBE NA MTIZAMO WAKE KUHUSU WANAWAKE































Dunia nzima nadhani inamfahamu Lucky Dube ambaye ni mwanamuziki nguli wa reggae kutoka Afrika Kusini, ambaye tungo zake zimeweka rekodi kubwa kwenye muziki huo mpaka sasa anapotimiza miaka 9 tangu kuuawa kwake, baada ya kupigwa risasi na watu ambao walitaka kumuibia gari lake alipoenda kuwashusha watoto wake kwa mjomba wao.
Lucky Philip Dube alizaliwa tarehe 3 August 1964 katika eneo la Ermelo kwa sasa linajulikana kama Mpumalanga nchini Afrika Kusini akiwa ni mtoto wa kwanza kwa mama yake. Wazazi wa Lucky Dube walitengana kabla hajazaliwa, na tetesi zinasema kuwa baba yake alikuwa ni raia wa Zimbabwe, na kabla Lucky hajazaliwa alilazimika kuondoka na kurudi Zimbabwe.

Jumatano, 9 Machi 2016

BILL GATES SAID CONTROL-ALT-DELETE FOR LOGIN IN TO WINDOWS WAS A MISTAKE

Microsoft Chairman, Bill Gates says that setting crtl+alt+del as a way to login into the Windows was a mistake
Microsoft chairman Bill Gates has acknowledged that setting Control-Alt-Delete as a way to log in to Windows was a mistake. Gates made the comment during a talk at a Harvard University fundraising event.
We could have had a single button, but the guy who did the IBM keyboard design didn’t want to give us our single button … and so we programmed at a low level … it was a mistake,” said Gates.
uring an hour-long interview with David Rubenstein, Gates also spoke about his early days at Microsoft, Bill and Melinda Gates

Jumanne, 8 Machi 2016

BILLIONEA WA SWEDEN NA IRAN HAUKUMIWA KUNYONGWA






















Bilionea wa Sweden na Irani Bw. Babak Zanjani mwenye utajiri wa paundi bilioni 13.5, amehukumiwa kunyongwa baada ya kupatikana na hatia ya rushwa nchini Irani anakoishi

MGUNDUZI WA BARUA PEPE AFARIKI DUNIA























Ray Tomlinson, raia wa Marekani, ambaye ndiye aliyevumbua utumaji wa barua pepe kwa Kiingereza e-mail amefariki dunia.
Tomlinson amefariki akiwa na umri wa miaka 74.
Mgunduzi huyu aliibuka na wazo la kutuma ujumbe wa kieletroniki kutoka mtu mmoja hadi mwingine kupitia mitandao mbali mbali mwaka 1971.
Aliandika ujumbe wa kwanza wa barua pepe wakati akifanya kazi Boston, kama Mhandisi wa kompyuta.

TANZANIA YA SUBIRI REPORT YA UNYANYASAJI UN























Tanzania imesema inasubiri ripoti ambayo imewataja wanajeshi wa Tanzania kuwa miongoni mwa wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wanaotuhumiwa kuhusika katika visa vya unyanyasaji wa kingono.
Jeshi la Tanzania linakabiliwa na tuhuma tatu za unyanyasaji wa kingono kati ya tuhuma 69 zilizoorodheshwa kwenye ripoti hiyo inayoangazia tuhuma zilizotolewa mwaka 2015.
Visa hivyo viliongezeka kutoka kwa visa 52 mwaka 2014 na 66 mwaka uliotangulia.
Waziri wa Ulinzi wa Tanzania Dkt Hussein Mwinyi, amenukuliwa na gazeti la Daily News mjini Dar es Salaam akisema nchi hiyo bado haijapokea ripoti hiyo.
“Tutakuwa katika nafasi nzuri ya kutangaza msimamo wa taifa letu tukipokea ripoti hiyo na kuitathmini,” waziri huyo alinukuliwa na gazeti hilo.
Tanzania ilikuwa na wanajeshi 2,158 na polisi 74 katika vikosi vya Umoja wa Mataifa mwaka jana.

Jumatatu, 7 Machi 2016

FACEBOOK PASSWORD RESET VULNERABILITY ALLOWED HACKERS TO BRUTE FORCE INTO ANY FB ACCOUNT


















Hacking Facebook is one of the most sought queries on Google search because a lot of Facebook accounts are valuable. So much so that security researchers spend their valuable time and resources to hunt for vulnerabilities in Facebook in search of that elusive big break. One such ethical researcher, Anand Prakash has hit a jackpot with hacking Facebook. He has found a critical vulnerability in Facebook which could have allowed him to hack into any FB account without a sweat.
The vulnerability which Prakash found, resides in the way Facebook’s beta pages handle ‘Forgot Password’ requests. Normally, when you forget your password, Facebook gives you an option to get back into your FB account using ‘Forgot Password’ option which then sends a 6 digit code on your phone number/email address to your mobile phone. After you enter this code in the window, you are able to access your FB account and reset your password.

10 MOST POPULAR COMPUTERS IN THE HISTORY OF COMPUTING





















When personal computers were released almost half a century ago, the customers did not have a choice like they do have now. There were limited choices and on top of that, a customer had to decide the kind of software that would run on that PC for next a few upcoming years. So, just a few PCs were favorite among the computer users.

Here is a list of 10 Most Popular Computer In Computer History:

  • Timex Sinclair 1000

In 1981, Sinclair released a computer at a price of $100. This small computer, also known as the ZX81, ran on BASIC with just 2KB of RAM and 3.25 MHz processor. However, it made a perfect entry point for aspiring hobbyists who couldn’t spend a thousand dollars on a PC. With this price, the Timex Sinclair 1000 sold over 600,000 units in the United States and became one of the most popular computers of its time.
 

Ijumaa, 4 Machi 2016

SAA ZINAZOWEZA KUTUMIWA KUIBA MITIHANI





















Saa za kisasa ambazo zimetengenezwa mahususi kutumiwa kudanganya wakati wa mtihani zimekuwa zikiwakosesha usingizi walimu na wasimamizi wa mitihani.
Saa hizo zina uwezo wa kuweka akiba data na maelezo ambayo yanaweza kusomeka mtu anapofanya mtihani.
Aidha, zina kitufe cha dharura ambacho kinaweza kubadili uso wa saa hizo haraka sana na badala ya kuonesha habari ziwe zinaonesha uso wa kawaida wa saa.
Saa hizo zinatangazwa katika soko la kuuza bidhaa mtandaoni la Amazon.
Mojawapo ya aina ya saa hizo ina uwezo wa kuweka akiba data ya 4GB. Nyingine, ambayo itaanza kuuzwa baadaye mwaka huu, itakuwa na uwezo wa 8GB na inaweza kuhifadhi hata video.

ALIYEKUWA MKUU WA BARCLAYS KUNUNUA BARCLYS AFRICA




















Mtu aliyekuwa akiendesha Benki ya Barclays nchini Uingereza anatafuta usaidizi wa kuwekeza katika benki ya Barclays barani Afrika ,gazeti la Financial time limeripoti.
Bod Diamond amesifika kwa kupanua maslahi ya benki ya Barclays Afrika hadi pale alipolazimika kuiacha benki hiyo.
Baadaye alianzisha Atlas Mara,kampuni ambayo inaangazia kuwekeza katika benki za Afrika.

ZIJUE SIMU ZITAKAZO TEMWA NA WHATSAP HAPA





















Huduma ya WhatsApp haitatumika tena katika simu zinazotumia mifumo kadha ya programu ikiwemo Blackberry 10, Nokia Symbian S60 na Windows Phone 7.1.
Kampuni ya Facebook inayomiliki huduma hiyo imesema inataka kuangazia kustawisha “huduma katika mifumo inayotumiwa na watu wengi.”
WhatsApp, itaacha kufanya kazi katika mifumo hiyo ya programu kufikia Desemba 2016.
Licha ya kuacha kutumika katika simu nyingi za Blackberry, WhatsApp bado itaendelea kutumiwa katika simu za kisasa zaidi za Blackberry kwa sababu simu hizo hutumia mfumo wa Android.
Kampuni hiyo imejitetea na kusema kwamba haijawatupa wateja wake ambao wamechangia sana katika ufanisi wake lakini ni kutokana na mabadiliko ya teknolojia.

OSCAR PRISTORIA ANYIMWA RUHUSA YA KUKATA RUFAA




















Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amenyimwa ruhusa ya kukata rufaa uamuzi wa mahakama wa kumpata na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.
Mahakama ya Kikatiba ndiyo iliyotoa uamuzi huo, na ina maana sasa kwamba Pistorius atahukumiwa Aprili.

SOKO LA FILAMU TANZANIA LITAIMALIKA




















Japo kuwa miongoni mwa tasnia kubwa Zaidi Afrika mashariki na Kati tasnia ni filamu Tanzania pamoja na watengeza filamu wanakutana na matatizo ya usambazaji usio lipa na uharamia. Lakini kampuni chipukizi ya Tango Tv imeingia kwenye soko na kuanzisha huduma ya kusambaza filamu kwa njia ya mtandao wa intanet.
Je huduma hii ni suluhisho kamili?
Wajasiriamali Victor Mnywami na Moses Kabungo wanasema king'amuzi cha Tango TV kinafunugua milango katika shughuli za usambazaji wa filamu kwa mafanikio.
Wakiwa na Zaidi ya filamu mia 200 kwenye maktaba yao, wajasiriamali hawa wamelenga pia utazamaji kwa njia ya simu na kuzindua huduma yao katika simu za mkononi , wakati wakitafuta wawekezaji wakutengeneza ving'amuzi Zaidi.