Jumatano, 2 Machi 2016

CHELSEA YAZIDI KUSONGA MBELE NAFASI YA 8, WAITUNGUA NORWICH CITY 2-1

Chelsea imeitandika Noewich mabao mawili kwa moja katika moja ya michezo ya ligi kuu ya uingereza wakijikusanyia pointi 39.
Chelsea katika mchezo wa leo walionekana kucheza kwa kujihami sana huku wakizuia sana pamoja na mtafutia mipiraDiego Costa ili aweze kuifunga Norwich.
Chelsea walianza kupata goli dakika ya 1 lilofungwa na Kenedy na Diego Costa akafunga la pili dakika ya 45 na kufanya Chelsea waende mapumziko wakiwa mbele kwa goli mbili.
Kipindi cha pili Norwich walicheza mpira mzuri na kufanikiwa kupata goli dakika ya 68 kupitia Nathan Redmond na mpaka dakika ya 90 Chelsea waliondoka na pointi tatu kibindoni.

Hakuna maoni: