TUNGANE TULETE MAENDELEO
Jumanne, 23 Februari 2016
KAMPUNI YA SAMSANG YAZINDUA SIMU MPYA NI GALAXY 7 CHEKI SIFA ZAKE
Kampuni ya kutengeneza simu ya Samsung imezindua simu yake mpya ya kisasa aina ya Galaxy S7 na Galaxy S7 Edge.
Kampuni hiyo ya kutokea Korea Kusini imezindua simu hizo mbili ilikukabiliana na upinzani mkali kutoka kwa kampuni ya simu ya Apple.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni