Alhamisi, 5 Machi 2015

NI ZAMU YA MVUVI KUPATA IST

Kaimu Katibu wa Wilaya ya Sengerema Aaron L Laizer ( wa pili kushoto ndio alimkabithi Kijiji IST yake ambapo hakuchelewa kuyatoa ya moyoni baada ya kuichukua… >>> “Sijawahi kumiliki gari hivyo usafiri huu utanisaidia katika shughuli zangu za uvuvi, za kifamilia na kiuchumi kwa ujumla, nachukua fursa hii kuwaambia watanzania wenzangu waamini kuwa Airtel inatoa magari na wao pia wanaweza kuibuka washindi.  Nawashukuru sana Airtel
kwa kuboresha maisha yangu na yawatanzania wengine walioshinda kama mimi

Hakuna maoni: